DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI

𝗗𝗮𝗹𝗶𝗹𝗶 𝘇𝗮 𝘂𝗴𝗼𝗻𝗷𝘄𝗮 𝘄𝗮 𝗞𝗶𝘀𝘂𝗸𝗮𝗿𝗶. Watu wengi tunaonekana wazima kwa macho lakini kwa ndani huwa tunaumwa kutokana na madhara ya chakula mwilini. Ni muhimu kujenga tabia ya kutembelea kituo cha afya kupima afya zetu ili tujue kama tunanyemelewa na magonjwambalimbali kama kisukari na kuanza matibabu mapema. Mtarajiwa wa ugonjwa wa kisukari anaonyesha dalili zifuatazo; 𝗞𝘂𝗽𝗮𝘁𝗮…

Sababu za vidonda vya tumbo

𝐘𝐚𝐣𝐮𝐞 𝐦𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐲𝐚𝐧𝐚𝐲𝐨𝐬𝐚𝐛𝐚𝐛𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐯𝐢𝐝𝐨𝐧𝐝𝐚 𝐯𝐲𝐚 𝐭𝐮𝐦𝐛𝐨. Vidonda vya tumbo ni aina ya vidonda ambavyo vinatokea kwenye mfumo wa chakula pale ambapo bakteria wazuri wanapokufa na bakteria nyemelezi kushambulia mfumo wa chakula. Vidonda vya tumbo vimegawanyika aina mbili, aina ya kwanza ni vidonda vinavyotokea ndani ya mfuko wa chakula, hivi vinasababisha maumivu makali baada ya kula.…

Kwanini wanga sio mlo mkuu

𝗞𝗪𝗔𝗡𝗜𝗡𝗜 𝗩𝗬𝗔𝗞𝗨𝗟𝗔 𝗩𝗬𝗔 𝗪𝗔𝗡𝗚𝗔 𝗡𝗔 𝗦𝗨𝗞𝗔𝗥𝗜 𝗛𝗔𝗩𝗜𝗧𝗔𝗞𝗜𝗪𝗜 𝗞𝗨𝗪𝗔 𝗠𝗟𝗢 𝗠𝗞𝗨𝗨. Ni tamaduni zetu kwa sasa vyakula vya wanga na sukari kutawala katika sahani zetu, hali imekua ikituhumiwa na tafiti nyingi kwamba inaleta magonjwa ya uzazi, kitambi,shinikizo la damu na magonjwa mengi. . Mbali na kwamba watu wanakula vyakula vya wanga na sukari katika sahani kilasiku,…

𝗦𝗮𝗯𝗮𝗯𝘂 𝘆𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗻𝗮𝘂𝗺𝗲 𝗸𝘂𝗸𝗼𝘀𝗮 𝗵𝗶𝘀𝗶𝗮 𝘇𝗮 𝘁𝗲𝗻𝗱𝗼 𝗹𝗮 𝗻𝗱𝗼𝗮.

𝗦𝗮𝗯𝗮𝗯𝘂 𝘆𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗻𝗮𝘂𝗺𝗲 𝗸𝘂𝗸𝗼𝘀𝗮 𝗵𝗶𝘀𝗶𝗮 𝘇𝗮 𝘁𝗲𝗻𝗱𝗼 𝗹𝗮 𝗻𝗱𝗼𝗮 Mwanaume anaweza asiwe na magonjwa kama kisukari, shinikizo la damu au maradhi yoyote ambayo yanamusumbua lakini uwezo wake wa kushirikii tendo la ndoa kitandani ukawa umepungua kwa kiasi kikubwa sana. Moja ya chanzo kinachokusababishia mwanaume asifurahie ndoa yake ni 𝐊𝐮𝐩𝐚𝐧𝐚𝐝𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐡𝐨𝐦𝐨𝐧𝐢 𝐲𝐚 𝐏𝐫𝐨𝐥𝐚𝐜𝐭𝐢𝐧. Homoni ya  𝐏𝐫𝐨𝐥𝐚𝐜𝐭𝐢𝐧 ni…

𝗠𝗯𝗶𝗻𝘂 𝘇𝗮 𝗸𝘂𝗷𝗶𝗴𝘂𝗻𝗱𝘂𝗮 𝗸𝗮𝗺𝗮 𝗻𝗶 𝗺𝘁𝗮𝗵𝗶𝗻𝗶𝘄𝗮 𝘄𝗮 𝗞𝗶𝘀𝘂𝗸𝗮𝗿𝗶.

𝗠𝗯𝗶𝗻𝘂 𝘇𝗮 𝗸𝘂𝗷𝗶𝗴𝘂𝗻𝗱𝘂𝗮 𝗸𝗮𝗺𝗮 𝗻𝗶 𝗺𝘁𝗮𝗵𝗶𝗻𝗶𝘄𝗮 𝘄𝗮 𝗞𝗶𝘀𝘂𝗸𝗮𝗿𝗶. Mtahiniwa wa ugonjwa wa kisukari ni mtu amabae mda wowote kuanzia sasa anaweza kutambulika na kubaikina rasmi kwamba anaugonjwa wa kisuakri na kunza dawa. Watu wengi sana wanatembea barabarani huku wakiwa ni watahiniwa wa ugonjwa wa kiskari bila kujitambua. Mtahiniwa wa ugonjwa wa kisukari hawezi kubainika kwa…

Vyakula vya kuongeza damu

𝐊𝐔𝐋𝐀 𝐕𝐘𝐀𝐊𝐔𝐋𝐀 𝐇𝐈𝐕𝐈 𝐊𝐔𝐎𝐍𝐆𝐄𝐙𝐀 𝐃𝐀𝐌𝐔, 𝐊𝐀𝐌𝐀 𝐔𝐍𝐀 𝐔𝐏𝐔𝐍𝐆𝐔𝐅𝐔 𝐖𝐀 𝐃𝐀𝐌𝐔Malighafi kuu za kutengeneza chembe nyekundu za damu ni Pamoja na madini ya chuma, vitamini B12 pamoja na Folic acid, Hizi ndio malighafi muhimu katika kutengeneza damu, bila hizi hakuna chembe nyekundu za damu zitakazotengenezwa. Kwahiyo daktari mwelevu yeyote anaekupa mpangilio sahihi wa lishe ili wewe…

𝗝𝗜𝗡𝗦𝗜 𝗩𝗬𝗔𝗞𝗨𝗟𝗔 𝗩𝗬𝗔 𝗪𝗔𝗡𝗚𝗔 𝗡𝗔 𝗦𝗨𝗞𝗔𝗥𝗜 𝗩𝗜𝗡𝗔𝗩𝗬𝗢 𝗞𝗨𝗞𝗢𝗦𝗘𝗦𝗛𝗔 𝗩𝗜𝗧𝗔𝗠𝗜𝗡 𝗔 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗨𝗡𝗚𝗨𝗞𝗜𝗪𝗔 𝗡𝗨𝗥𝗨 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗖𝗛𝗢.

𝗝𝗜𝗡𝗦𝗜 𝗩𝗬𝗔𝗞𝗨𝗟𝗔 𝗩𝗬𝗔 𝗪𝗔𝗡𝗚𝗔 𝗡𝗔 𝗦𝗨𝗞𝗔𝗥𝗜 𝗩𝗜𝗡𝗔𝗩𝗬𝗢 𝗞𝗨𝗞𝗢𝗦𝗘𝗦𝗛𝗔 𝗩𝗜𝗧𝗔𝗠𝗜𝗡 𝗔 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗨𝗡𝗚𝗨𝗞𝗜𝗪𝗔 𝗡𝗨𝗥𝗨 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗖𝗛𝗢. Nuru ya macho imekuwa ni kilio cha wengi sana katika nyakati za sasa. Watalamu wamekuwa wakihusisha ongezeko hili na mlipuko wa ugonjwa wa kisukari, na kusemekana ni athari za ugonjwa huo. Lakini pia wengi wamekuwa wakihofiwa kuwa lishe yao haihusishi…

MAMBO YANAYOANGAMIZA WAGONJWA WA KISUKARI

MAMBO YANAYOANGAMIZA WAGONJWA WA KISUKARI. Matatizo haya yote yanayowapata wagonjwa wa kisukari yanatokana na baadhi ya fikra potofu ambazo zimepandikizwa wakati wa kupokea ushauri  kutoka sehemu mbalimbali. ”Wagonjwa wa kisukari wana fikra hasi iliyopandikizwa inayosema kwamba ukishapata ugonjwa wa kisukari  utapitia mateso hayo unayopitia milele na hakuna siku utakuja kutua hayo mateso ni ugonjwa wa…

Madhara ya kunywa maji baridi

𝗡𝗶 𝘀𝗮𝗹𝗮𝗺𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘆𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗷𝗶 𝘆𝗮 𝗯𝗮𝗿𝗶𝗱𝗶 𝗮𝘂 𝘆𝗮 𝗺𝗼𝘁𝗼?  Watu wengi wanafikra potofu kwamba  mtu akinywa maji ya baridi huwa yanaenda kugandisha mafuta yaliyopo kwenye utumbo mwembamba jambao ambalo sio kweli. .  Kisayansi mwili wa binadamu huwa na nyuzijoto 37. Ikiwa joto la mwili likishuka mpaka 35 mwili huwa unatetemeka, vinyweleo kusimama, mishipa ya damu inasinyaa pamoja na shuhuli…

𝐉𝐈𝐍𝐒𝐈 𝐅𝐔𝐍𝐆𝐀 𝐈𝐍𝐀𝐕𝐘𝐎𝐓𝐈𝐁𝐔 𝐌𝐀𝐆𝐎𝐍𝐉𝐖𝐀

𝐉𝐈𝐍𝐒𝐈 𝐅𝐔𝐍𝐆𝐀 𝐈𝐍𝐀𝐕𝐘𝐎𝐖𝐄𝐙𝐀 𝐊𝐔𝐓𝐈𝐁𝐔 𝐌𝐀𝐆𝐎𝐍𝐉𝐖𝐀 𝐘𝐀 𝐋𝐈𝐒𝐇𝐄 (𝐌𝐅𝐔𝐍𝐆𝐎 𝐓𝐈𝐁𝐀) Sio kila magonjwa yaliyokuwepo katika mwili wako unahitaji kula ndio upone, kuna magonjwa unaweza ukayatibu kwa kutokula. Magonjwa kama kitambi, uzito mkubwa, kisukari, shinikizo la damu, mvurugiko wa homoni, matatizo ya pumu, matatizo ya mzio sugu (allergy) n.k magonjwa yote hayo  unaweza kuyathibiti kwa kutumia mfungo…

Select the fields to be shown. Others will be hidden. Drag and drop to rearrange the order.
  • Image
  • SKU
  • Rating
  • Price
  • Stock
  • Availability
  • Add to cart
  • Description
  • Content
  • Weight
  • Dimensions
  • Additional information
Click outside to hide the comparison bar
Compare